WAISLAMU WATAKIWA KUZISAIDIA TAASISI ZA KIDINI KUTATUA CHANGAMOTO

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Al-haji Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka waislamu Nchini kujitolea kwa hali na mali kuzisaidia taasisi za dini ya Uislamu ili kutatua changamoto zinazozikabili taasisi tofauti. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla alieleza hayo wakati akimuakilisha Rais Dk. Hussein Ali Mwinyi katika kilele